Skip to main content
Skip to main content

Wakulima TransNzoia washauriwa kuchukua bima wanapofanya kilimo

  • | Citizen TV
    224 views
    Duration: 1:36
    Wakulima katika Kaunti ya Trans Nzoia wameshauriwa kukumbatia bima ya kilimo ili kujilinda dhidi ya hasara zinazotokana na changamoto za kilimo, hususan kiangazi na mafuriko. Ushauri huu unatolewa kufuatia ongezeko la hasara ambayo wakulima wamekuwa wakipata kutokana na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri uzalishaji wa mazao.