Skip to main content
Skip to main content

Walioasi uraibu wa mihadarati Bungoma wataka wawezeshwe

  • | Citizen TV
    592 views
    Duration: 1:34
    Kundi la vijana walioathirika na dawa za kulevya katika eneo bunge la Mlima Elgon kaunti ya Bungoma limeitaka serikali ya kaunti ya Bungoma na ile ya kitaifa kuingilia kati ili kuwapa msaada utakaowawezesha kujikimu kimaisha baada ya wengi wao kubadilika.