Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja atoa ufadhili kwa wanafunzi wa sekondari

  • | Citizen TV
    579 views
    Duration: 1:37
    Gavana wa Nairobi, Sakaja Johnson, amezindua mpango wa ufadhili wa masomo ya shule za sekondari wenye thamani ya shilingi milioni 170, unaolenga kuwasaidia wanafunzi 4,000 wenye bidii lakini kutoka familia zisizojiweza kote jijini Nairobi.