Skip to main content
Skip to main content

Simba 6 wakufa Amboseli baada ya kula mzoga wa ng'ombe uliotiwa sumu

  • | Citizen TV
    8,241 views
    Duration: 1:09
    Uchunguzi wa mauaji ya simba sita , tai 34 na fisi kadhaa unaendelea kufanywa na serikali ya Kenya ikishirikiana na ile ya Tanzania, kwenye hifadhi ya taifa ya Amboseli.