Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aongoza mchakato wa kuwachagua wajumbe wa UDA

  • | Citizen TV
    3,075 views
    Duration: 2:37
    Uchaguzi wa wajumbe wa Chama cha UDA mashinani ulifanyika hii leo katika kaunti ishirini katika vituo 12,000. Kinara wa chama hicho Rais William Ruto alipiga Kura Katika kituo cha koilel Kaunti ya Uasin Gishu ambapo alielezea umhimu wa uachaguzi huo kuimarisha misingi ya chama huku viongozi wengine wakisifia mfumo wa kidigitali wa kupigia kura uliotumika na chama hicho.