Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto kuzindua mtaji wa NYOTA jijini Nairobi kesho

  • | KBC Video
    221 views
    Duration: 1:38
    Rais William Ruto anatarajiwa kufanya uzinduzi rasmi wa usambazaji wa mtaji kwa ajili ya biashara ndogo kwa zaidi ya vijana elfu 10,500 kutoka kaunti za Nairobi, Kiambu na Kajiado chini ya mradi wa serikali wa NYOTA hapo kesho. Mpango huu unawalenga vijana waliotengwa na wasio na masomo kama sehemu ya mkakati wa serikali ya kushughulikia ukosefu wa nafasi za ajira kwa vijana kupitia ujasiriamali. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive