- 38,374 viewsDuration: 2:43Alikosa kuabiri ndege iliyokuwa imewabeba watu sita waliofariki kwenye ajali ya ndege ya Nandi baada ya kuchelewa kufika. G.K Kechwa alitarajiwa kusafiri ila akaachwa baada ya pikipiki iliyokuwa ikimpeleka kwenye angatua kupata hitilafu. Na kama Laura Otieno anavyoarifu, Kipchirchir Mosonik naye pia anaeleza namna alikosa kuabiri ndege hiyo kwa kuwa ilikuwa imejaa.