Skip to main content
Skip to main content

Wahandisi wafanya maandamano ya amani Kisii kuhamasisha umma kukumbatia uhandisi

  • | Citizen TV
    210 views
    Duration: 4:46
    Miungano ya wahandisi pamoja na washikadau mbalimbali katika sekta hiyo hii leo wanahamasisha umma kuhusu siku ya kimataifa ya wahandisi Duniani. Msafara huo unatarajiwa kuzunguka katikati ya mji wa Kisii kwa lengo la kutoa hamasa hususan kwa jamii kukumbatia masomo ya uhandisi.