- 695 viewsDuration: 35sTimu ya 3K FC imeimarisha maandalizi yake ya Ligi Kuu ya Kenya licha ya kutokuwa na uhakika kuhusu tarehe ya kuanza kwa ligi hiyo ya daraja la juu. Mahakama Kuu itasikiliza kesi iliyowasilishwa na Kariobangi Sharks tarehe 24 Septemba, karibu mwezi mmoja baada ya tarehe iliyopangwa ya kuanza kwa ligi.