Skip to main content
Skip to main content

Ajali yaua 9 Karai kwenye barabara kuu ya Nairobi - Nakuru

  • | Citizen TV
    4,797 views
    Duration: 3:32
    Zaidi ya watu 20 wamefariki kwenye ajali za barabarani katika siku nne za kwanza za mwaka huu wa 2026. Idadi hii ikiongezeka baada ya watu 9 kufariki kwenye ajali ya jana usiku katika eneo la Karai kwenye barabara kuu ya Nairobi - Nakuru.