- 4,797 viewsDuration: 3:32Zaidi ya watu 20 wamefariki kwenye ajali za barabarani katika siku nne za kwanza za mwaka huu wa 2026. Idadi hii ikiongezeka baada ya watu 9 kufariki kwenye ajali ya jana usiku katika eneo la Karai kwenye barabara kuu ya Nairobi - Nakuru.