Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya shule zilipata alama za vyuo vikuu kwa watahiniwa wote

  • | Citizen TV
    1,069 views
    Duration: 4:31
    Kwa siku ya pili, shamra shamra za matokeo ya mtihani wa K.C.S.E zinaendelea katika shule kadhaa nchini. Baadhi ya shule zikisajili asilimia mia moja kwa wanafunzi waliofanya mtihani kujiunga na vyuo vikuu nchini.