Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wakazi katika kaunti ya Nyamira walalamikia barabara mbovu

  • | Citizen TV
    528 views
    Duration: 3:06
    Baadhi ya wakazi katika kaunti ya Nyamira wameiomba serikali ya kaunti hiyo kuharakisha mpango wa kukarabati barabara inayoendelea, wakidai shughuli za uchukuzi zimeadhirika pakubwa haswa msimu huu wa mvua. Wakizungumza na Runinga ya Citizen wakazi hao wamedai kushuhudia changamoto za kusafirisha mazao kutoka mashinani kwenda sokoni.