Skip to main content
Skip to main content

BBC News Swahili

  • | BBC Swahili
    3,538 views
    Duration: 1:20
    Baada ya kukataliwa visa ya Marekani mara nne, na kuanza kucheza mpira wa kikapu miaka sita tu iliyopita, Madina Okot ameandika historia kwa kuwa Mkenya wa kwanza kuchaguliwa kwenye hatua ya juu ya ligi kubwa ya wanawake ya mpira wa kikapu Marekani (WNBA). @beldeenwaliaula anataarifa zaidi #bbcswahili #Kenya #WNBA Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw