Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu ulinzi wa kitaifa na mahusiano ya kigeni imehoji faida ya kiuchumi itakayotokana na kuzinduliwa kwa ubalozi jijini Vatican. Kamati hiyo, ikimsaili balozi mteule atakayehudumu jijini Vatican, Julius Mbijiwe, kamati hiyo iliagiza wizara ya mashauri ya nchi za kigeni kuelezea bunge kuhusu manufaa ya kiuchumi yanayotokana na ufunguzi wa ubalozi huo mpya ambao unajiri wakati afisi za kibalozi zinakabiliwa na uhaba mkubwa wa rasilimali.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive