Skip to main content
Skip to main content

Taharuki yatanda uchaguzi mdogo Emurua Dikirr baada ya vurugu Chelemei

  • | Citizen TV
    26,573 views
    Duration: 5:59
    Mtu mmoja alijeruhiwa katika uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr baada ya kuvamiwa na wahuni katika eneo la Chelemei. Taharuki ilitanda huku maajenti wa DCP wakidai kulengwa na wafuasi wa UDA. Kwa sasa, shughuli ya kuhesabu kura inaendelea katika eneo bunge hilo baada ya vituo vya kupigia kura kufungwa saa kumi na moja jioni. Mwanahabari wetu Melita Oletenges anaripoti zaidi kutoka Emurua Dikirr.