28 Aug 2026 10:12 am | Citizen TV 1,363 views Duration: 1:21 Familia ya Mwanafunzi wa gredi ya tisa katika shule ya msingi ya Echariria, Gilgil kaunti ya Nakuru aliyeuwawa kinyama yataka uchunguzi wa kina kufanywa ili kubaini kilichomuuwa.