Skip to main content
Skip to main content

Familia yadai haki baada ya mwanafunzi kufariki kutokana na majeraha ya kisu

  • | Citizen TV
    6,833 views
    Duration: 2:46
    Familia moja ya Lucky Summer jijini Nairobi inadai haki baada ya mtoto wao, Alex Owegi Ariango, kufariki kutokana na majeraha ya kudungwa kisu akiwa katika shule ya Ruthimitu, Dagoretti South. Ariango amefariki miezi mitano baadaye baada ya kuugua kutokana na majeraha hayo. Familia inataka mshukiwa, ambaye alikuwa mwanafunzi wa shule hiyo wakati wa tukio, akamatwe na kushtakiwa kwa mauaji.