- 75,910 viewsDuration: 28:10Jeshi la polisi nchini Tanzania linasema hali ya usalama wa nchi imekuwa nzuri na vyombo vya ulinzi vinaendelea kuimarisha usalama katika maeneo mbalimbali. Maandamano ya amani yaliyopangwa kufanyika siku ya leo yalipigwa marufuku na mamlaka za serikali yakidaiwa kuwa hayakukidhi matakwa ya kisheria. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw