- 5,140 viewsDuration: 2:31Katibu Mkuu wa chama cha UDA Hassan Omar amejipata pabaya kufuatia matamshi yake ya kurupuka yaliyoashiria njama ya wizi wa kura kupitia usajili wa wafu. Omar aliyetoa matamshi hayo Mombasa amekashifiwa vikali na wanasiasa kutoka chama chake cha UDA na upinzani akitakiwa kupima maneno kabla ya kuzungumza.