Skip to main content
Skip to main content

Hatma ya watahiniwa waliopata alama za D+ kwenda chini

  • | Citizen TV
    1,622 views
    Duration: 3:54
    Hali ya Wasiwasi inaendelea kuongezeka kuhusu hatima ya wanafunzi ambao walipata alama za D + kwenda chini katika mtihani wa KCSE wa mwaka jana. Kwa mara ya tatu mfululizo, karibu wanafunzi elfu mia nne walishindwa kupata alama ya kujiunga na vyuo vikuu.