Skip to main content
Skip to main content

Janga la kibinadamu limeshuhudiwa Angata Barrikoi baada ya mapigano ya kikabila

  • | Citizen TV
    2,349 views
    Duration: 2:53
    Eneo la Angata Barrikoi linakabiliwa na janga la kibinadamu kufuatia mapigano ya jamii mbili eneo hilo. Wakazi zaidi wametorokea katika kituo cha polisi cha Kona, huku vijiji vikisalia mahame. Aidha watoto wanahangaika, makali ya njaa na magonjwa yakiwa tishio kubwa kwa maisha yao