- 349 viewsDuration: 2:23Kamati ya ukaguzi wa jamii kutoka Wadi ya Mochongoi, Baringo Kusini, yafika katika ofisi ya afisa mkuu wa kaunti anayesimamia Barabara, Geoffrey, mjini Kabarnet, kutaka maelezo kuhusu madai ya malipo ya Shilingi milioni 12.3 kwa kituo cha mafuta mjini Nakuru.