Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya Coast water yafunga maji kwale, Kilifi na Taita Taveta

  • | Citizen TV
    2,764 views
    Duration: 3:27
    Kampuni ya kusambaza maji ya coast water inashikilia kwamba kamwe haitafungulia maji kampuni tatu za kusambaza maji Taita Taveta, kwale na kilifi kutokana na malimbikizi ya madeni. Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hamoud mguza amedai kuwa kaunti hizo zinadaiwa zaidi ya shilingi milioni 403 katika kipindi cha mwaka mmoja fedha ambazo zinaathiri utendakazi na utoaji huduma wa kampuni ya coast water