- 2,032 viewsDuration: 3:14Kenya inajiandaa kwa msimu wa mvua ambao huenda kwa mara nyingine ukajaribu uwezo wa taifa kukabiliana na majanga. Serikali inasema inatarajia kupata karibu dola milioni mia nne za ufadhili wa dharura kutoka Benki ya Dunia, fedha zinazolenga kusaidia nchi kukabiliana na msururu wa changamoto zinazoweza kujitokeza kwa wakati mmoja, miongoni mwazo mvua zinazotarajiwa za El Niño. Hii leo tunaangazia kwa kina maana halisi ya El Niño na athari zinazoweza kuwakumba Wakenya.