- 2,789 viewsDuration: 57sKinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amesema kuwa upinzani utafuatilia kwa karibu sana uchaguzi ujao ili kuzuia visa vya kila mara vya wizi wa kura. Kalonzo ameitaka IEBC kuwa na uwazi kwenye mchakato mzima wa maandalizi ya uchaguzi ili kuzuia mtafaruku na kuleta imani kuwa inaendesha uchaguzi huru .