12 Sep 2026 7:35 pm | Citizen TV 2,590 views Duration: 1:52 Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki amemtaka Waziri wa Utumishi wa Umma Geoffrey Ruku kukomesha kile anachokitaja kuwa ni juhudi za kuigawanya kisiasa eneo la Mlima Kenya kuwa Mlima Kenya Mashariki na Mlima Kenya Magharibi.