- 407 viewsDuration: 4:13Maandalizi ya maonyesho ya kimataifa ya kilimo kaunti ya Mombasa yatamatika huku Jumla ya washiriki 1, 000 na maelfu ya wageni watarajiwa kushiriki. Maonyesho hayo ya siku sita yatafanyika kuanzia tarehe mbili hadi tarehe sita Septemba, yakihushisha washiriki kutoka Kenya na mataifa mbali mbali barani Africa