Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya maonyesho ya kimataifa ya kilimo kaunti ya Mombasa yatamatika

  • | Citizen TV
    407 views
    Duration: 4:13
    Maandalizi ya maonyesho ya kimataifa ya kilimo kaunti ya Mombasa yatamatika huku Jumla ya washiriki 1, 000 na maelfu ya wageni watarajiwa kushiriki. Maonyesho hayo ya siku sita yatafanyika kuanzia tarehe mbili hadi tarehe sita Septemba, yakihushisha washiriki kutoka Kenya na mataifa mbali mbali barani Africa