Skip to main content
Skip to main content

Maandamano Nandi wakazi walalamikia pombe haramu baada ya vifo

  • | Citizen TV
    318 views
    Duration: 1:55
    Wakazi wa eneo la Kamonjil, Chesumei kaunti ya Nandi waliandamana kulalamikia ongezeko la pombe Haramu wanayosema imesababisha zaidi ya watu watano kupoteza maisha katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.