Skip to main content
Skip to main content

Mechi kati ya Nairobi United na Gor Mahia imesitishwa kufuatia machafuko uwanjani

  • | Citizen TV
    406 views
    Duration: 1:19
    Mechi ya ligi kuu ya kenya kati ya klabu ya nyumbani ya Nairobi United na Gor Mahia ilitibuka katika dakika ya 58 baada ya machafuko kuzuka uwanjani kufuatia bao la kusawazisha kutoka kwa Naibos.