Skip to main content
Skip to main content

Mvutano umeendelea kati ya Kaunti ya Kwale na Waziri Joho kuhusu uchimbaji wa madini ya Mrima

  • | Citizen TV
    13,478 views
    Duration: 3:31
    Mzozo umeendelea kutokota kuhusu uchimbaji wa madini ya msitu wa mlima wa Mrima eneo la Lungalunga kaunti ya Kwale. Serikali ya kaunti imeendelea kupinga juhudi za wizara ya madini kufanya mikutano katika eneo hilo ikidai kutohusishwa katika shughuli hiyo.