Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi mwerevu Cecilia Kerubo ajiunga na shule ya kitaifa ya AIC Litein

  • | Citizen TV
    706 views
    Duration: 1:32
    Siku moja baada ya runinga ya Citizen kuangazia taarifa ya Cecilia Kerubo, mwanafunzi aliyekata tamaa kujiunga na shule ya Kitaifa ya AIC Litein hatimaye ameanza masomo ya sekondari ya juu katika shule hiyo.