28 Aug 2026 1:16 pm | Citizen TV 859 views Duration: 1:18 Familia ya Mwanafunzi wa gredi ya tisa katika shule ya msingi ya Echariria, Gilgil kaunti ya Nakuru aliyeuwawa kinyama wiki hii inataka uchunguzi wa kina kufanywa ili kubaini kilichomuuwa.