Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume afariki baada ya kubugia pombe Turi, Molo

  • | Citizen TV
    11,651 views
    Duration: 2:43
    Huzuni imetanda katika eneo la Turi, Molo, Kaunti ya Nakuru, kufuatia kifo cha ghafla cha kijana ambaye dakika zake za mwisho zilinaswa kwenye video akibugia pombe. Kanda hiyo, ambayo sasa imesambaa mitandaoni, imezua minong'ono kuhusu pombe yenye sumu nchini.