Skip to main content
Skip to main content

Mwenyekiti wa Tume ya IEBC amewaonya wanasiasa dhidi ya kutumia vijana kama wahuni

  • | Citizen TV
    264 views
    Duration: 1:46
    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini IEBC Erastus Ethokon amewaonya wanasiasa wanaogombea viti mbali mbali vya uongozi, dhidi ya kutumia vijana kama wahuni kuvuruga amani nchini, akisema wakipatikana hawataruhusiwa kuwania wadhifa wowote mwaka 2027.