Skip to main content
Skip to main content

Mzozo wa ardhi yenye dhahabu wachacha Ikolomani

  • | Citizen TV
    9,594 views
    Duration: 3:08
    Mzozo wa umiliki wa ardhi yenye dhahabu huko ikolomani kaunti ya Kakamega umeendelea kuchachahuku wakazi wa eneo la Isulu wakishinikiza kuhusishwa kwenye maamuzi yote kuhusu uchimbaji wa madini hayo. Wakazi hao wameitaka serikali kuweka mipango kabambe ya kuwafidia watakaoondoka kwenye ardhi zao, kando na kutangaza mustakabali wa wachimbaji migodi wa eneo hilo.