Skip to main content
Skip to main content

Polisi Nandi waharibu zaidi ya lita 5,000 za pombe haramu

  • | Citizen TV
    680 views
    Duration: 1:14
    Polisi katika Kaunti ya Nandi wameharibu zaidi ya lita elfu tano za pombe haramu katika msako uliofanyika katika bonde la Kipsigak-Baibai, katika kijiji cha Kapkerer, eneo linalopakana na Kaunti za Nandi, Kisumu na Vihiga.