Skip to main content
Skip to main content

Polisi wanachunguza kifo cha kijana aliyerushwa ghorofani

  • | Citizen TV
    24,531 views
    Duration: 3:23
    Polisi katika eneo la kilimani wanachunguza kifo tata cha kijana wa miaka 25 aliyefariki baada ya kurushwa kutoka ghorofa ya juu ya chumba cha malazi wikendi iliyopita. Kijana huyo aliyetambuliwa kama Festus Lee Oromo, anasemekana kuwa na wenzake akiwemo mpenziwe aliyepatana naye kwenye mtandao wa mapenzi kabla ya kifo chake.