Skip to main content
Skip to main content

Safari za Serikali: Ksh 25B zatumika, Nyakang’o aibua maswali

  • | Citizen TV
    2,125 views
    Duration: 2:26
    Mdhibiti wa bajeti margaret nyakang’o ameibua maswali kuhusu matumizi yasiyofaa ya serikali kwenye safari za humu nchini na nje ya nchi. Nyakang'o anasema serikali ilitumia shilingi bilioni 25 kwenye safari hizo. Haya yanajiri mwaka mmoja tu baada ya rais ruto kutangaza kwamba serikali itapunguza gharama hiyo kwa asilimia 50. Emmanuel too anatufungulia jamvi la nipashe kwa taarifa hiyo.