Skip to main content
Skip to main content

Samia amteua Deogratius Ndejembi kuwa makamu wa rais wa Tanzania

  • | Citizen TV
    19,332 views
    Duration: 2:19
    Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Deogratius Ndejembi, kuwa naibu wake kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa makamu Emmanuel Nchimbi. Aidha, chama tawala cha Mageuzi, CCM, kimetangaza kwamba kimemfukuza Emmanuel Nchimbi kutoka kwa chama hicho kutokana na utovu wa nidhamu.