Skip to main content
Skip to main content

Serikali ya kaunti ya Migori yazindua mpango wa mbegu kwa wakulima 5,000

  • | Citizen TV
    418 views
    Duration: 1:48
    Serikali ya kaunti ya Migori imezindua mpango wa usambazaji wa mbegu unaolenga wakulima 5,000 kote kaunti hiyo kama sehemu ya juhudi za kuwalinda kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.