- 377 viewsDuration: 56sTusker FC itaweka juhudi zaidi dhidi ya Al Ahly Madani ya Sudan katika mechi ya mkondo wa marudiano ya Kombe la Mashirikisho itakayochezwa Uwanja wa Nyayo Jumamosi alasiri. Licha ya kutoka sare ya 2-2 katika mkondo wa kwanza wiki iliyopita, Tusker inasaka ushindi nyumbani katika mechi hiyo muhimu.