Skip to main content
Skip to main content

Tusker FC yatwaa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia

  • | Citizen TV
    1,040 views
    Duration: 1:02
    Mabingwa wa Kombe la FKF, Tusker FC, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuilaza Gor Mahia kwa mabao 3-1. Mechi hiyo ya kufungua msimu wa soka nchini ilichezwa katika Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo.