Skip to main content
Skip to main content

Usahihishaji wa uteuzi wa wanafunzi wa gredi ya kumi waanza Jumanne

  • | Citizen TV
    770 views
    Duration: 1:51
    Usahihisaji wa shule kwa wale watakaojiunga na gredi ya kumi utaanza Jumanne wiki hii. Katibu katika wizara ya Elimu Profesa Julius Bitok amesema kuwa uteuzi wa wanafunzi kujiunga na gredi ya kumi ulifanywa kwa mashine na sababu mbalimbali huenda zimesababisha kutoridhika kwao na shule walizopata. Aidha Bitok amekiri kuwa kuna baadhi ya wanafunzi ambao wameteuliwa katika shule za jinsia zisisofaa na kuwataka wadau kuwa na subra huku usahihishaji ukiendelea.