28 Aug 2026 10:53 am | Citizen TV 488 views Duration: 2:10 Vijana katika maeneo ya vijijini Kaunti ya Kirinyaga waanza kupata mafunzo kuhusu matumizi ya akili bandia (AI), katika juhudi za kuwapa ujuzi wa teknolojia na kuwawezesha kutumia fursa zitokanazo na uchumi wa kidijitali