Skip to main content
Skip to main content

Vijana kutoka Turkana walalamika kuwa hawajapokea pesa walizoahidiwa katika mradi wa NYOTA

  • | Citizen TV
    146 views
    Duration: 2:01
    Vijana zaidi ya mia moja kutoka kaunti ya Turkana waliokuwa wamesajiliwa katika mradi wa NYOTA iliyozinduliwa mjini Eldoret na rais William Ruto, wamejitokeza kulalamika kuwa hawajapokea pesa walizoahidiwa ambazo ni shilingi elfu ishirini na mbili kwa simu zao kama ilivyotarajiwa.