16 Apr 2026 1:36 pm | Citizen TV 18,386 views Duration: 2:04 Wakaazi wa kaunti ya Nakuru wanaoegemea siasa za mrengo wa Linda mwananchi unaoongozwa na Katibu Mkuu wa Chama cha ODM Edwin Sifuna, wametaka wakaazi wa kaunti ya Nakuru kujitokeza Kwa wingi siku ya Jumapili .