- 13,721 viewsDuration: 3:26Shughuli za biashara katikati ya jiji la Nairobi zilisitishwa kwa saa kadhaa huku wafanyibiashara wakiandamana kulalamikia ongezeko la ushuru kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje. Wafanyibiashara hao walifunga biashara zao na kuingia mitaani, japo polisi walitibua azma yao ya kufika katika makao makuu ya kukusanya ushuru -KRA- kuwasilisha malalamishi yao. Wafanyibiashara hao walirushiwa vitoa machozi na kulazimika kutawanyika huku mamlaka ya KRA iikitetea kodi hiyo.