28 Aug 2026 10:56 am | Citizen TV 27,301 views Duration: 5:23 wafanyabiashara wadogo jijini Nairobi waandamana kulalamikia ushuru wa juu wanaosema unatozwa na mamlaka ya ukusanyaji ushuru KRA. Kulingana nao, imekuwa vigumu kupata faida kwa sababu ya ushuru wa juu