Skip to main content
Skip to main content

Wafanyakazi Kitui wakabiliwa na ugumu baada ya kukosac kwa miezi miwili

  • | Citizen TV
    763 views
    Duration: 1:50
    Wafanyakazi wa kaunti ya Kitui wamekuwa wakikumbwa na wakati mgumu wa kugharamia mahitaji yao ya msingi, ikiwemo kuwarudisha watoto wao shuleni na kulipa kodi za nyumba, baada ya kukosa mishahara kwa muda wa miezi miwili sasa.