Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Kihurure walalamikia kisima cha maji kisichofanya kazi

  • | Citizen TV
    684 views
    Duration: 2:03
    Wakazi wa kijiji cha Kihurure katika Wadi ya Kaimbaga, eneo mbunge la Ol-Kalou, wamelalamikia kisima cha maji ambacho hakifanyi kazi, licha ya kuchimbwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.